| Wakazi wa Matai, Leonard Creophas na Chipala Joseph walikutwa juzi katika eneo la Matai wilayani Sumbawanga wakipasua mbao ili waweze kuuza na kujipatia kipato ambapo mbao moja uuzwa kati ya Sh 1500 na 2000 kutegemea na aina ya mti uliopasuliwa mbao, pembeni yao ni waandishi wa habari, kulia ni Sammy Kisika na Peti Siyame. |
No comments