Mmoja wa wazazi akiangalia sare kwaajili ya kumnunulia mtoto wake leo katika soko la Mandela lililopo mjini Sumbawanga, muhula mpya wa masomo umeanza tangu jana baada ya kufunguliwa kwa shule za msingi na Sekondari nchini kote.
WAZAZI NA WALEZI WAENDELEA KUCHANGAMKIA SARE ZA SHULE KWAAJILI YA WATOTO WAO.
Reviewed by Mussa Mwangoka
on
January 09, 2012
Rating: 5
No comments