Breaking News

Picha za mafunzo ya semina ya matumizi ya Intaneti yaliyoandaliwa na Misa kwa waandishi wa habari wa mkoa wa Rukwa yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Chuo kikuu huria mjini Sumbawanga.

Washiriki wakiwa katika picha ya pamoja

Mwandishi wa habari  na mwakilishi wa Clouds Media, Gurian Adolf  akifutialia kwa vitendo masomo ya Intaneti.

Mratibu wa mafunzo ya Intaneti kutoka Taasisi ya waandishi wa habari kusini mwa afrika tawi la Tanzania (Misa Tan) akiwa Busy katika mitandao wa Intaneti.
Waandishi wa habari , Crisensia Wasulwa kutoka kituo cha Redio Chemchem Sumbawanga na Mussa Mwangoka mwandishi wa gazeti la Mwananchi mkoa wa Rukwa wakifuatilia kwa makini mafunzo hayo

Washiriki wakiwa makini kufuatilia mazoezi ya vitendo katika mafunzo ya matumizi ya Intaneti

No comments