| Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga, Kanali John Mzurikwao, akimkabidhi funguo ya gari aina ya Toyota Rav4 Mshindi wa Promosheni ya Jivunie, Emmanuel Kapungu mkazi wa kijiji cha Muze, aliyeshinda gari hilo na kukabidhiwa leo mjini Sumbawanga, promoshjeni hiyo iliendeshwa na Kampuni ya Mawasiliano ya simu za mkononi ya Airtel mwaka 2010. |
No comments