| Rais wa Rotary Klabu ya Sumbawanga, Reina Lukara akitoa taarifa fupi jana kwa Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya kulia wakati wa kukabidhi zawadi mbalimbali kwa watoto yatima wanaolelea katika kituo cha Katandala kilichopo mjini Sumbawanga, kushoto kwake ni Askofu wa Maiko Badeleya wa kanisa la Anglikana. |
No comments