Mbunge wa jimbo la Kalambo, Josephat Kadege akizungumza na wananchi wa jimboni kwake hii leo wakati akifungua mdahalo wa kuhamashisha wananchi wengi kushiriki katika mchakato wa kupata katiba mpya.
Mkazi wa tarafa ya Matai katika jimbo la Kalambo wilayani Sumbawanga, Agustino Machenguli, akichangia mada katika mdahalo huo leo asubuhi.
Baadhi ya wananchi wakiwa katika picha ya pamoja na Mbunge wa jimbo la Kalambo, Josephat Kandege leo asubuhi wakati wa mdahalo wa kuhamashisha wananchi wengi kushiriki katika mchakato wa kupata katiba mpya.
UADILIFU WA VIONGOZI NDIO MUAROBAINI WA KUTIBU SHIDA ZA WANANCHI LAKINI SI KATIBA MPYA PEKEE.
Reviewed by Mussa Mwangoka
on
January 14, 2012
Rating: 5
No comments